MKAKATI MKAKATINI AWAMU YA PILI KUTIKISA IRINGA

 


Mwenyekiti wa CCM Manispaa ya Iringa, Said Rubeya amesema wanaandaa hatua ya pili ya mkakati mkakatini inayolengwa kuwaeleza wananchi nini kimefanyika ndani ya siku 100 za CCM kuongoza halmashauri ya Iringa Mjini kwa kuwa na Meya.

Amesema kupitia mkakati huo kamati ya siasa ya Iringa Mjini, watafanya ziara kwenye kata zote wakiongozana na Meya wa Manispaa Iringa, Mbunge Jesca Msambatavangu, Mkuu wa Wilaya ya Iringa DC Richard Kasesela.

“Ni lazima tuwaambie wananchi nini kimefanyika tangu tuchukue halmashauri,” amesema.  

Comments

Popular posts from this blog

MWENYEKITI WA UVCCM TAIFA AMALIZA ZIARA MKOA WA IRINGA KWA KUTEMBELEA IRINGA MJINI

IBRAHIM NGWADA; TUTASIKILIZA KERO ZA ARDHI KILA ALHAMISI YA MWISHO WA MWEZI

SIKU YA TATU YA ZIARA YA MWENYEKITI WA UVCCM TAIFA COMRADE KHERI JAMES; ATEMBELEA IRINGA VIJIJINI

RAIS MAGUFULI KUTUA IRINGA JUMATATU, SEPTEMBA 28, 2020