KAMATI YA SIASA YA CCM YAENDELEA NA ZIARA KUKAGUA MIRADI YA MAJI VIJIJINI

 


Kamati ya Siasa ya CCM ikiongozwa na Mwenyekiti Dr Abel Nyamahanga, inaendelea lea na ziara ya kukagua miradi ya maji Vijijini nayosimamiwa na Wakala wa Maji Safi na Mazingira Vijijini (RUWASA)


Lengo okubwa la ziara hiyo ni kukagua utekelezaji wa Ilani ya CCM ya kuhakikisha wananchi vijijini wanpatiwa maji safi na salama ili kumtua mama ndoo kichwani.



Comments

Popular posts from this blog

MWENYEKITI WA UVCCM TAIFA AMALIZA ZIARA MKOA WA IRINGA KWA KUTEMBELEA IRINGA MJINI

IBRAHIM NGWADA; TUTASIKILIZA KERO ZA ARDHI KILA ALHAMISI YA MWISHO WA MWEZI

MKAKATI MKAKATINI AWAMU YA PILI KUTIKISA IRINGA

SIKU YA TATU YA ZIARA YA MWENYEKITI WA UVCCM TAIFA COMRADE KHERI JAMES; ATEMBELEA IRINGA VIJIJINI

RAIS MAGUFULI KUTUA IRINGA JUMATATU, SEPTEMBA 28, 2020