DK NYAMAHANGA AMUHAKIKISHIA RAIS MAGUFULI USHINDI WA KISHINDO IRINGA

 

Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Iringa Dk Nyamahanga amemuhakikishia Rais John Pombe Magufuli ushindi wa kishindo kwa madiwani wote, wabunge na Rais.

Dk Nyamahanga alizungumza wakati akimkaribisha Rais John Pombe Magufuli, kuzungumza na maelfu ya wakazi wa Iringa waliokuwa wamefurika katika mkutano wa kampeni, kwenye uwanja wa Samora mjini Iringa.

Comments

Popular posts from this blog

MWENYEKITI WA UVCCM TAIFA AMALIZA ZIARA MKOA WA IRINGA KWA KUTEMBELEA IRINGA MJINI

IBRAHIM NGWADA; TUTASIKILIZA KERO ZA ARDHI KILA ALHAMISI YA MWISHO WA MWEZI

MKAKATI MKAKATINI AWAMU YA PILI KUTIKISA IRINGA

SIKU YA TATU YA ZIARA YA MWENYEKITI WA UVCCM TAIFA COMRADE KHERI JAMES; ATEMBELEA IRINGA VIJIJINI

RAIS MAGUFULI KUTUA IRINGA JUMATATU, SEPTEMBA 28, 2020