UPATIKANAJI WA MAJI SAFI NA SALAMA WAFIKIA ASILIMIA 74.2 TOKA ASILIMIA 69.3 mwaka 2015 - Ilani ya CCM (2015-2020 MKOANI IRINGA)


Utekelezaji wa Ilani ya CCM - Mkoa wa Iringa (2015-2020)

Hali ya upatikanaji wa maji safi na salama mkoani Iringa imeongezeka kutoka asilimia 69.3 mwaka 2015 mpaka kufikia asilimia 74.2 mwaka 2020.

Idadi ya wanaopata huduma ya maji ni 812,612 kati ya watu 1,095,172. 

Tumetekeleza kwa Kishindo, Tunasonga Mbele Pamoja

Comments

Popular posts from this blog

MWENYEKITI WA UVCCM TAIFA AMALIZA ZIARA MKOA WA IRINGA KWA KUTEMBELEA IRINGA MJINI

IBRAHIM NGWADA; TUTASIKILIZA KERO ZA ARDHI KILA ALHAMISI YA MWISHO WA MWEZI

MKAKATI MKAKATINI AWAMU YA PILI KUTIKISA IRINGA

SIKU YA TATU YA ZIARA YA MWENYEKITI WA UVCCM TAIFA COMRADE KHERI JAMES; ATEMBELEA IRINGA VIJIJINI

RAIS MAGUFULI KUTUA IRINGA JUMATATU, SEPTEMBA 28, 2020