Posts

Showing posts from October, 2020

NI USHINDI WA KIMBUNGA, IRINGA MJINI YAZIZIMA, CCM YANG'ARA KWENYE MAJIMBO YOTE IRINGA

Image
 Ushindi wa kimbunga wa CCM katika Jimbo la Iringa mjini, umelifanya jimbo hilo kuzizima kwa shangwe hasa Jesca Msambatavangu alipotangazwa mshindi. Jesca amemuangusha Peter Simon Msingwa, mbunge mstaa wa Chadema aliyeongoza jimbo hilo kwa miaka 10 HONGERA KWA MADAM JESCA MSAMBATAVANGU

JESCA AFUNGA KAMPENI KWA KISHINDO IRINGA MJINI, UWANJA WANONA

Image
  Mgombea Ubunge wa Jimbo la Iringa Mjini (CCM) Jesca Msambatavangu jana amefunga kampeni zake kwa kishindo baada ya umati mkubwa wa watu kufika katika uwanja wa Mwembetogwa ili kusikiliza sera zake. Mnec na Mbunge wa Jimbo la Mtera, David Lusinde alimnadi Jesca Msambatavangu akiwataka wana Iringa kumchagua ili awawakilishe Bungeni. Mnec wa Mkoa wa Iringa, Salim Asas aliwataka wakazi wa Mkoa wa Iringa wasifanye kosa na badala yake wahakikishe wanakipigia Chama cha Mapinduzi kwa nafasi zote. Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Iringa, Said Rubeya aliwashukuru wananchi wa Iringa kwa ushirikiano wao wakati wa kampeni na kuwaomba wasisahau CCM hapo kesho, siku ya uchaguzi.

Kwa Kihenzile kumenoga, afungia kampeni kata ya Makungu

Image
  Mgombea wa Jimbo la Mufindi Kusini, David Kihenzile jana alimaliza kampeni zake akiwaomba wananchi wa jimbo hilo wampigie kura za wingi yeye, madiwani na Rais John Pombe Magufuli. Kihenzile alitumia nafasi hiyo kuainisha vipaumbele vyake ikiwamo kilimo, elimu, mawasiliano, afya na uwezeshaji. Mnec wa Mkoa wa Iringa, Theresia Mtewele aliongoza ufungaji huo wa kampeni akidani Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2020/2025. Miongoni mwa mambo aliyozungumzia ni Afya, miundombinu, maji, elimu na michezo.

CHUMI AFUNGA KAMPENI KWA KUAINISHA VIPAUMBELE, HANA MPINZANI MAFINGA MJINI

Image
Chumi afunga kampeni Mafinga Mjini kwa kuweka bayana vipaumbele vyake   Mbunge wa Jimbo la Mafinga Mjini, Cosato Chumi amefunga kampeni huku akiweka wazi vipaumbele vyake.   1. Miundombinu ya barabara Ni kuhakikisha kuwa tunajenga kilomita kadhaa za lami na Taa za Barabarani ndani ya Mji wa Mafinga.   2. Afya,   Kukamilisha Miradi ya ujenzi wa Kituo Cha Afya Bumilayinga, kuanza ujenzi wa Kituo Cha Afya Kata ya Upendo    na kukamilisha taratibu za kupata vibali na vifaa Tiba ili majengo yaliyokuwa yakitumiwa na Mkandarasi wa barabara ya Mafinga Igawa ambayo tulimuomba Mhe Rais Magufuli alipofanya ziara hapa Mafinga yaanze kutumika kama Kituo cha Afya cha Changarawe. 2. Elimu, a) Elimu ya Msingi, kuhakikisha kuwa tunajenga shule ya Msingi maeneo ya Ndolezi-(Kata ya Boma), Lumwago (Kata ya Upendo) na Iditima (Kata ya Bumilayinga)   b) Elimu ya Sekondari -Kuhakikisha tunakamilisha ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Kata ya Sao Hill na kuon...

DAUD YASIN, MWENYEKITI WA CCM WILAYA YA MUFINDI AOMBA KURA ZA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI WA CCM

Image
 Kwa unyenyekevu mkubwa naomba kura yako trh 28 kwa Mhe Rais Dkt John Pombe Magufuli. Wagombea Ubunge wote wa CCM na  Wagombea Udiwani  Daud Yassin  Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Mufindi

UWT NA KIKAO CHA LALA SALAMA, WAJIPANGA KUMALIZIA

Image
  Umoja wa Wanawake wa Mkoa wa Iringa, wamefunga dimba kwa kujipanga mara ya mwisho kufanya mashambulizi katika kuhakikisha CCM inashinda kwa kishondo katika Jimbo la Iringa mjini. Kikao cha UWT kiliongozwa na Mwenyekiti, Nikolina Lulandala akiwa na katibu wake, Angela Milembe. Mbunge Mteule wa Viti Maalum Mkoa wa Iringa, Ritha Kabati alikuwa miongoni mwa viongozi waliopanga mikakati kukamilisha jambo lao.

MBIO ZA KIHESA NA JULI SAWANI

Image
  Hivi ndivyo Mgombea Udiwani wa kata ya Kihesa, Juli Sawani na makada wa CCM walivyokimbia mchaka mchaka kuhitimisha kampeni zilizofanyika eneo la Semtema jana. Sawani aliwaahidi wananchi wa Kihesa kuwaletea maendeleo ya kweli na kuwaomba wampigie kura za kishondo yeye, Jesca kwa Jimbo la Iringa Mjini na Rais John Pombe Magufuli

KWANI ZAIDI YA KIGAHE KUNA MWINGINE? NI KIGAHE MUFINDI KASKAZINII

Image
 BADO SIKU NNE TU, MPIGIE KURA KIJANA MAKINI, MPENDA WATU HUYU

LUKUVI JEMBE

Image
  *ISIMANI HAKUNA MPINZANI*       *KURA YA KISHINDO NDIO HESHIMA ANAYOSTAHILI*       *BLOG YA CCM MKOA WA IRINGA*

*KILOLOYETU, MAENDELEO YETU, CCM YETU, NYAMOGA WETU*

Image
   *KWA MAENDELEO YA JIMBO LA KILOLO, NYAMOGA ANATOSHA*     *KURA YAKO YA NDIO KWAKE*     *BLOG YA CCM MKOA WA IRINGA*          

JACKSON KISWAGA ATASWAGA MAENDELEO YA JIMBO LA KALENGA

Image
 JACKSON KISWA NI MBUNGE ANAYETOSHA KUKIMBIZA MAENDELEO YA JIMBO LA KALENGA... KURA ZA KISHINDO KWAKE!

CHUMI KWA MUSTAKABALI WA MAFINGA MJINI

Image
    *CHUMI KWA MUSTAKABALI WA MAFINGA MJINI*     *ANATOSHA, AMEPITA NA ANANGOJA KUAPISHWA TU*     *KURA ZA KISHINDO KWA RAIS MAGUFULI NA MADIWANI WOTE WA CCM*     *BLOG YA CCM MKOA WA IRINGA*

KISHINDO CHA JESCA MSAMBATAVANGU IRINGA MJINI

Image
  JESCA MSAMBATAVANGU HANA MPINZANI IRINGA MJINI     *THE ION LADY, ANATOSHA KUWA MBUNGE IRINGA MJINI*     KISHINDO CHA KUFUNGA KAMPENI NI OCTOBA 26, 2020     *TUKUTANE UWANJA WA MWEMBETOGWA*    

KIHENZILE ANATOSHA MUFINDI KUSINI, MPENI KURA ZA KISHINDO

Image
 KWA MAENDELEO YA KWELI MUFINDI KUSINI, DAVID KIHENZILE NDIYE JIBU....

NI MAGUFULI MITANO TENA, KURA YAKO YA NDIO NI MSINGI WA MAENDELEO TANZANIA

Image
 NI MAGUFULI MITANO TENA, KURA YAKO YA NDIO NI MSINGI WA MAENDELEO

TAZAMA MBINU WALIYOITUMIA UWT MKOA WA IRINGA KUMUOMBE KURA RITHA MLAGALA KISINGA

Image
  Umoja wa Wanawake Mkoa wa Iringa (UWT) waliamua kupiga magoti kuwaomba wapiga kura wampigia kura za kishindo mgombea udiwani wa kata ya Kising’a, Ritha Mlagala. UWT wakiongozwa na Mwenyekiti Nikolina Lulandala na katibu wake, Angela Milembe walitua Kising’a kumuunga mkono Mlagala, akiwa miongoni mwa wagombea wanawake. Pia walimwombea kura Mbunge, William Lukuvi na Rais John Paombe Magufuli

LUKUVI NI LEVO NYINGINE, ISIMANI HAKAMATIKI

Image
Kwa hakika ushindi wa LUKUVI ni asilimia 100. Kila kijiji anachokanyaga anakutana na mamia ya wananchi wakimsubiri. Jana, Mgombea Ubunge wa Jimbo la Isimani na Waziri wa Ardhi, Nyumba na maendeleo ya Makazi, William Lukuvi jana alifanya ziara katika vijiji vya kata ya Nyang’oro ambako alitumia nafasi hiyo kuwaomba wananchi wakipigie kura za kishindo chama cha Mapinduzi.   Lukuvi ni kati ya wagombea ubunge waliovunja rekodi kwa kufanya mikutano mingi zaidi kwa siku huku, utendaji kazi wake katika miaka mitano iliyopita ukiendelea kumbeba.