TAZAMA MBINU WALIYOITUMIA UWT MKOA WA IRINGA KUMUOMBE KURA RITHA MLAGALA KISINGA


 

Umoja wa Wanawake Mkoa wa Iringa (UWT) waliamua kupiga magoti kuwaomba wapiga kura wampigia kura za kishindo mgombea udiwani wa kata ya Kising’a, Ritha Mlagala.

UWT wakiongozwa na Mwenyekiti Nikolina Lulandala na katibu wake, Angela Milembe walitua Kising’a kumuunga mkono Mlagala, akiwa miongoni mwa wagombea wanawake.

Pia walimwombea kura Mbunge, William Lukuvi na Rais John Paombe Magufuli





Comments

Popular posts from this blog

MWENYEKITI WA UVCCM TAIFA AMALIZA ZIARA MKOA WA IRINGA KWA KUTEMBELEA IRINGA MJINI

IBRAHIM NGWADA; TUTASIKILIZA KERO ZA ARDHI KILA ALHAMISI YA MWISHO WA MWEZI

MKAKATI MKAKATINI AWAMU YA PILI KUTIKISA IRINGA

SIKU YA TATU YA ZIARA YA MWENYEKITI WA UVCCM TAIFA COMRADE KHERI JAMES; ATEMBELEA IRINGA VIJIJINI

RAIS MAGUFULI KUTUA IRINGA JUMATATU, SEPTEMBA 28, 2020