Kwa Kihenzile kumenoga, afungia kampeni kata ya Makungu

 

Mgombea wa Jimbo la Mufindi Kusini, David Kihenzile jana alimaliza kampeni zake akiwaomba wananchi wa jimbo hilo wampigie kura za wingi yeye, madiwani na Rais John Pombe Magufuli.

Kihenzile alitumia nafasi hiyo kuainisha vipaumbele vyake ikiwamo kilimo, elimu, mawasiliano, afya na uwezeshaji.

Mnec wa Mkoa wa Iringa, Theresia Mtewele aliongoza ufungaji huo wa kampeni akidani Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2020/2025.

Miongoni mwa mambo aliyozungumzia ni Afya, miundombinu, maji, elimu na michezo.





Comments

Popular posts from this blog

MWENYEKITI WA UVCCM TAIFA AMALIZA ZIARA MKOA WA IRINGA KWA KUTEMBELEA IRINGA MJINI

IBRAHIM NGWADA; TUTASIKILIZA KERO ZA ARDHI KILA ALHAMISI YA MWISHO WA MWEZI

MKAKATI MKAKATINI AWAMU YA PILI KUTIKISA IRINGA

SIKU YA TATU YA ZIARA YA MWENYEKITI WA UVCCM TAIFA COMRADE KHERI JAMES; ATEMBELEA IRINGA VIJIJINI

RAIS MAGUFULI KUTUA IRINGA JUMATATU, SEPTEMBA 28, 2020