MBIO ZA KIHESA NA JULI SAWANI

 

Hivi ndivyo Mgombea Udiwani wa kata ya Kihesa, Juli Sawani na makada wa CCM walivyokimbia mchaka mchaka kuhitimisha kampeni zilizofanyika eneo la Semtema jana.


Sawani aliwaahidi wananchi wa Kihesa kuwaletea maendeleo ya kweli na kuwaomba wampigie kura za kishondo yeye, Jesca kwa Jimbo la Iringa Mjini na Rais John Pombe Magufuli



Comments

Popular posts from this blog

MWENYEKITI WA UVCCM TAIFA AMALIZA ZIARA MKOA WA IRINGA KWA KUTEMBELEA IRINGA MJINI

IBRAHIM NGWADA; TUTASIKILIZA KERO ZA ARDHI KILA ALHAMISI YA MWISHO WA MWEZI

MKAKATI MKAKATINI AWAMU YA PILI KUTIKISA IRINGA

SIKU YA TATU YA ZIARA YA MWENYEKITI WA UVCCM TAIFA COMRADE KHERI JAMES; ATEMBELEA IRINGA VIJIJINI

RAIS MAGUFULI KUTUA IRINGA JUMATATU, SEPTEMBA 28, 2020