DC Kasesela; Wananchi endeleeni kuijengea imani na Serikali yenu


Mkuu wa Wilaya ya Iringa, Richard Kasesela amesema wananchi wanapaswa kuendelea kujenga Imani kwa Serikali yao kwa sababu inaendelea kusikiliza na kutatua kero zao.


Amesema kati ya kero zilizomfikia mezani kwake kutoka manispaa ya Iringa ni bili kubwa za maji na ukatili wa kijinsia.


DC Kasesela alikuwa akizungumza leo katika kikao cha mabalozi wa nyumba kumi kilichokuwa kikiongozwa na Wairi Mkuu Mtaafu, Mh Pinda.


“Kuna kero nyingine wanawake wanapigwa na waume zao, na wanaume nao wanapigwa na wake zao, haya yote tunashughulikia,” amesema DC Ksesela.


Aidha amewapongeza mabalozi wa CCM kwa kuipambania CCM na kusababisha ushindi wa kishindo manispaa ya Iringa.



Comments

Popular posts from this blog

MWENYEKITI WA UVCCM TAIFA AMALIZA ZIARA MKOA WA IRINGA KWA KUTEMBELEA IRINGA MJINI

IBRAHIM NGWADA; TUTASIKILIZA KERO ZA ARDHI KILA ALHAMISI YA MWISHO WA MWEZI

MKAKATI MKAKATINI AWAMU YA PILI KUTIKISA IRINGA

SIKU YA TATU YA ZIARA YA MWENYEKITI WA UVCCM TAIFA COMRADE KHERI JAMES; ATEMBELEA IRINGA VIJIJINI

RAIS MAGUFULI KUTUA IRINGA JUMATATU, SEPTEMBA 28, 2020