Dk Nyamahanga ; 2025 tusijiandae kwa maneno

Mwenyekiti wa CCM w Mkoa w Iringa, Dk Abel Nyamahanga amewashauri wabunge na madiwani wa CCM wa Mkoa wa Iringa kushikamana na kushirikiana katika kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010.

Amesema mwisho wa Uchaguzi ni mwanzo wa Uchaguzi mwingine hivyo 2025 siyo ya kujiandaa kwa maneno bali kwa vitendo.

“Hata kama huna mpango wa kugombea 2025, chapa kazi kuihakikishia ushindi CCM” alisema.

Dk Nyamahanga alikuwa akizungumza wenye kikao maalum cha Wabunge na Madiwani wa CCM wa Mkoa wa Iringa kilichokuwa kinaongozwa na Mlezi wa CCM wa Mkoa wa Iringa, Mh Mizengo Pinda.

 


Comments

Popular posts from this blog

MWENYEKITI WA UVCCM TAIFA AMALIZA ZIARA MKOA WA IRINGA KWA KUTEMBELEA IRINGA MJINI

IBRAHIM NGWADA; TUTASIKILIZA KERO ZA ARDHI KILA ALHAMISI YA MWISHO WA MWEZI

MKAKATI MKAKATINI AWAMU YA PILI KUTIKISA IRINGA

SIKU YA TATU YA ZIARA YA MWENYEKITI WA UVCCM TAIFA COMRADE KHERI JAMES; ATEMBELEA IRINGA VIJIJINI

RAIS MAGUFULI KUTUA IRINGA JUMATATU, SEPTEMBA 28, 2020