JESCA MSAMBATAVANGU; *TUMEIBUKA TUKIWA NA NGUVU*

 

Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini, Jesca Msambatavangu amesema licha ya miaka kumi jimbo hilo kuwa upinzani, CCM imeibuka tena ikiwa na nguvu.

 

Jesca alikuwa akiwashukuru mabalozi wa nyumba kumi katika kikao kilichokuwa kinaongozwa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.

 

Amewashukuru mabalozi wa nyumba kumi kwa kazi kubwa waliyoifanya katika kuhakikisha kuwa wanasimamia ushindi wa kishondo kwa Rais Magufuli, wabunge na madiwani.

 

“Mkuu wa wilaya na mkuu wa mkoa walikuwa wanapata shuda kukusanya kero za wananchi lakini sasa tupo, tutafanya kazi hiyo kuwapunguzia mzigo,” amesema Msambatavangu.

 

 

 

 


Comments

Popular posts from this blog

MWENYEKITI WA UVCCM TAIFA AMALIZA ZIARA MKOA WA IRINGA KWA KUTEMBELEA IRINGA MJINI

IBRAHIM NGWADA; TUTASIKILIZA KERO ZA ARDHI KILA ALHAMISI YA MWISHO WA MWEZI

MKAKATI MKAKATINI AWAMU YA PILI KUTIKISA IRINGA

SIKU YA TATU YA ZIARA YA MWENYEKITI WA UVCCM TAIFA COMRADE KHERI JAMES; ATEMBELEA IRINGA VIJIJINI

RAIS MAGUFULI KUTUA IRINGA JUMATATU, SEPTEMBA 28, 2020