POKEENI SIMU ZA WANANCHI - DR NYAMAHANGA

 


Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Iringa, Dk Abel Nyamahanga amewataka viongozi waliochaguliwa kwa kupigiwa kura kujenga tabia ya kupokea simu za wananchi.

Nyamahanga alikuwa akizungumza kwenye kikao cha mabalozi wa nyumba kumi waliokutana kwa ajili ya kupewa shukrani toka kwa Waziri Mkuu Mstaafu na Mlezi wa CCM Iringa, Mizengo Pinda.

Amesema hakuna mkubwa zaidi ya wananchi waliowapa dhamana ya kuwa viongozi kwenye maeneo yao.

“Pokeeni simu, hakuna mkubwa kwenye chama hiki , wakubwa ni wananchi waliowachagua nyie. Fanyeni kazi na pokeeni simu,” amesema.

Amesema ipo tabia ya baadhi ya viongozi wa kata kujifanya miungu watu wa kuwachaji fedha wananchi wanaoenda kuomba dhamana

Comments

Popular posts from this blog

MWENYEKITI WA UVCCM TAIFA AMALIZA ZIARA MKOA WA IRINGA KWA KUTEMBELEA IRINGA MJINI

IBRAHIM NGWADA; TUTASIKILIZA KERO ZA ARDHI KILA ALHAMISI YA MWISHO WA MWEZI

MKAKATI MKAKATINI AWAMU YA PILI KUTIKISA IRINGA

SIKU YA TATU YA ZIARA YA MWENYEKITI WA UVCCM TAIFA COMRADE KHERI JAMES; ATEMBELEA IRINGA VIJIJINI

RAIS MAGUFULI KUTUA IRINGA JUMATATU, SEPTEMBA 28, 2020