Uhai wa CCM; Katibu wa CCM Mkoa wa Iringa akikagua maendeleo ya ujenzi wa Ofisi ya CCM Kilolo na nyumba ya UVCCM

 

Ukizungumzia uhai wa chama ni pamoja na uwepo wa ofisi nzuri na nyumba za watendaji.

Katibu wa CCM Mkoa wa Iringa, Brown Mwangomale na viongozi wengine wa CCM Mkoa wa Iringa, wamefanya ziara kukagua nyumba ya Katibu wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana Iringa na Ofisi ya CCM Wilaya ya Kilolo.








 


Comments

Popular posts from this blog

MWENYEKITI WA UVCCM TAIFA AMALIZA ZIARA MKOA WA IRINGA KWA KUTEMBELEA IRINGA MJINI

IBRAHIM NGWADA; TUTASIKILIZA KERO ZA ARDHI KILA ALHAMISI YA MWISHO WA MWEZI

MKAKATI MKAKATINI AWAMU YA PILI KUTIKISA IRINGA

SIKU YA TATU YA ZIARA YA MWENYEKITI WA UVCCM TAIFA COMRADE KHERI JAMES; ATEMBELEA IRINGA VIJIJINI

RAIS MAGUFULI KUTUA IRINGA JUMATATU, SEPTEMBA 28, 2020