HERI JAMES; MWENYEKITI WA UVCCM TAIFA AANZA ZIARA MKOANI IRINGA

 


Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Comrade Hery James ameanza ziara ya kikazi Mkoani Iringa ikiwa na lengo la kuimarisha Jumuiya ya Umoja wa Vijana.

Katika ziara yake, Comrade Heri ametembelea wilaya ya Mufindi na kukutana na mabaraza ya Jumuiya za UWT, WAZAZI NA VIJANA.

Katika ziara hiyo, kiongozi huyo wa Jumuiya ya Vijana alisisitiza upendo, umoja na mshikamano kama njia pekee ya kuendelea kukijenga chama cha mapinduzi.

Amesema uchaguzi wa mwaka jana CCM ilifanikiwa kwa sababu ya ukwelina kuwataka vijana wasomi, watumie elimu yao kwa manufaa ya jamii na chama.



Comments

Popular posts from this blog

MWENYEKITI WA UVCCM TAIFA AMALIZA ZIARA MKOA WA IRINGA KWA KUTEMBELEA IRINGA MJINI

IBRAHIM NGWADA; TUTASIKILIZA KERO ZA ARDHI KILA ALHAMISI YA MWISHO WA MWEZI

MKAKATI MKAKATINI AWAMU YA PILI KUTIKISA IRINGA

SIKU YA TATU YA ZIARA YA MWENYEKITI WA UVCCM TAIFA COMRADE KHERI JAMES; ATEMBELEA IRINGA VIJIJINI

RAIS MAGUFULI KUTUA IRINGA JUMATATU, SEPTEMBA 28, 2020